Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,425
- 18,456
Arosto zipo nyingi mzee, kuna za unga, bange, gundi, Miraaa nk.arosto ya nini!?
Arosto zipo nyingi mzee, kuna za unga, bange, gundi, Miraaa nk.arosto ya nini!?
OhoooooSasa ndio mpige watoto wetu hvo
Labda nilikuelewa vibayaArosto zipo nyingi mzee, kuna za unga, bange, gundi, Miraaa nk.

Kiaje mzee ulielewa?Labda nilikuelewa vibaya![]()
Nilidhani arosto zileeeeeKiaje mzee ulielewa?

Wewe ndo kituko. Faul ya halali,goli la halali. Uzembe tu wa Azam.Faulo kituko,Refa Kituko View attachment 1832681
Ninazo nyingi hapa nimeletewa nizigaweWhy this question mkuu? Wewe ni mkurugenzi wa kiwanda cha ndom Unataka kunigawia?🤔



Unanyamaza kwa muda huku ukijipanga kulia zaidi ya mwanzo!😂🙌
Sitaki baki nazo tu! Wamekuletea nyingi sababu wanajua una uwezo huo wa kutumia pambana😬Ninazo nyingi hapa nimeletewa nizigawe
Wanyaki mpo? Mi nawapenda sana. Amkeni kumekucha. Wasukuma wanakusalimieniView attachment 1831429View attachment 1831430





