rukia16
JF-Expert Member
- Feb 27, 2020
- 2,978
- 31,039
Mimi mpaka leo....nikiwa naandika kitu cha kuumiza kichwa japo sio kwa kiwango hicho
Graduate huyo dah?!!!
Unanyamaza kwa muda huku ukijipanga kulia zaidi ya mwanzo!![]()


Kijana wetu Emmanuel Kasomi sijui kafanya kosa gani mods wameamua kula naye sahani moja....
View attachment 1826066
Jamaa haamini macho yake, hapo anajisemea tukitoka hapa staki kujua kitu kinachoitwa mbususuSitakaa nifanye tena utopolo wa kuingia leba. Akina mama wote heshima zenu sana
View attachment 1832926