Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

400138600069_500888.jpg
 
Mengine kujiendekeza tu. Mbona wewe usimtafute? Anaweza akawa anaumwa au amelazwa au kafa kabisa watu wanaomboleza huko na wewe hujui
Kama akifa utasikia tu, hakuna msiba wa mtu mmoja jamani

Hivi unavijua vipenzi ambavyo mahusiano yao mengine yamenoga? Kanajifanya busy hadi ukatafute na unakaona tu online, ukikatext tu message ikifika ndiyo kanazima na data kabisa. Ndiyo marehemu kazima data?

Mtumishi na wewe ni tabia yako?
 
Back
Top Bottom