Kumbe kaona dodoVisingizio, kumbe sababu ndio hiiView attachment 1827917
🤣🤣🤣Namba 6 ni kwel kabisa nimeona kwa wageni wangu wa hiko kabilaMnyaki weeeeeeView attachment 1827456
Mnatunyima dudu liumalo. Na mkitupa mpaka tuwe tumewahonga mno.Duuh!! Tumewakosea mini![]()
K-nessyVantenessyView attachment 1827585

Bado 'tashtiti' za wanyaki na wasukuma zinaendelea!!!?Unafikiri huyu jamaa ni kabila gani? Mimi nadhani ni Mnyaki baada ya kuuza maparachichi yake
View attachment 1823709



Pengine Ana display biashara ya mikanda hapoUnafikiri huyu jamaa ni kabila gani? Mimi nadhani ni Mnyaki baada ya kuuza maparachichi yake
View attachment 1823709




😂😂😂😂 Ww jamaa Umewezaje kukariri kwamba ni avatar yangu.? Hy pic naipenda sana na tangu nmejiunga JF hy ndo avatar yangu na siwezi kuitoa.Avatar ya Ezekiel Mbaga