Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Ngoja niwatumie wanyaki wangu wale

Ongezeni kufakamia maparachichi tu misambwanda itajiimarisha...Daah kwa hiyo wanyaki sisi tusio na misambwanda ndiyo inakuwaje tena jamani?
Yaani Wasukuma hatupumui. Ni kampa kampa 24/7. Jizazi....
JamaniOngezeni kufakamia maparachichi tu misambwanda itajiimarisha...
View attachment 1824631
Ni balaaa huwa yanakua mazuri akifunika na nguo tuu.
Akiyatoa hadharani hapa hata stimu za kufyantika zinaisha aisee.
Vipotabo wataendelea kukimbiza mwanzo mwishoo.
Hiyo mikubwakubwa ni kwa ajili ya afya ya macho tuu sio matumizi mengine![]()




Wewe umeambiwa umzalishe mambo ya uchafu wa kucha yanahusiana nini na process za kutengeneza mtoto?



. Kafeli sana hapo baharia!Anazuga tu huyo. Hakuna mwanaume rijali asiyependa misambwandaKunywa Pepsi, bili kwangu![]()







Wabeja bageshiFor you Dear Father'sView attachment 1824394

Kuna mmoja hapa mfanyakazi wa Burger King naye kaitwa monkey na kutemewa mate na kizee cha kizungu kwa hasira akaachia konde moja zito la uso likakipata kizee cha watu kiracist kikaanguka na kujibamiza kichwa kwenye simenti kikaRIP sasa ametiwa ndani kwa mauaji.
Hii ni wanaume kuokoana. Mwanaume hawezi kumuacha mwanaume mwenzie kwenye taabu.
Duh....sawa Mkuu.Wewe umeambiwa umzalishe mambo ya uchafu wa kucha yanahusiana nini na process za kutengeneza mtoto?