Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_9160.jpg
 
Ila tuseme ukweli tu mkuu. Sisi kusoma tulichelewa. Mazingira yetu jangwa jangwa wazungu hawakupapenda. Badala yake wakavutiwa na hali ya hewa ya baridi baridi huko Kilimanjaro, Unyakyusani na huko Uhayani. Kama siyo Nyerere kuanzisha utaratibu wa kuchanganya vijana wakati wa boarding school wengi wetu tusingesoma. Imagine mimi O level nilibebwa kutoka Shinyanga na kwenda Iringa halafu A level nikapelekwa Bukoba...

Mambo yameanza kubadilika hata hivyo na sasa tunasoma. Hata ukipita huko vijijini unaweza kuyaona mabadiliko japo safari bado ni ndefu...

Kinachonishangaza ni hawa Wanyaki. Kusoma wamesoma lakini ushamba karibia wanatutoa knockout. Why? Wangekuwa hawajasoma ingekuwaje?
View attachment 1821996
Hahaaa kaka waelekeze hao maana wanatuona wasukuma washamba wakati kina Rupia miaka hiyo wako town na wana magorofa na uhuru wamepigania ...ama nasema uongo ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom