dem boyz
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 7,340
- 16,909
Alikuwa Msukuma nikajifunza mpaka ushamba lakini haikusaidiaHahaaha
Alikuwa Mha Nikajifunza hadi Ubishi lakini Wapi








Tulikuwa na Mbwa nyumbani nikauwa zote ili zisimupigie kelele usiku lakini bado haikutoshaAlikuwa Msukuma nikajifunza mpaka ushamba lakini haikusaidia![]()
Alikuwa mpare. Nikajitegua mpaka magoti ili niwe mfupi lakini bado akaniachaTulikuwa na Mbwa nyumbani nikauwa zote ili zisimupigie kelele usiku lakini bado haikutosha








Umenikumbusha Moshi kipindi cha mvua