




Duuh aiseee
Hii mbinu mpya au?!
Huyu Msomali atuache kwanza"Mimi ni shabiki lia lia wa Coastal union, lakini hawa Yanga nimejitolea sana kuwasaidia kifedha walivyoondokewa na tajiri yao Yusuf Manji, nawashangaa ati leo wananilalamikia eti nawaonea.
Yanga muwage na shukrani"--- Wallace Karia Rais wa TFF.View attachment 1810727