Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vijijini kwetu wanalipwa siku hizi, maana tumegundua kujitolea kunawafanya wajione Wana umuhimu

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Hata kama mnawalipa bado wana umuhimu kiongozi.
Maana tajiri au Kiongizi hawezi kazi hiyo.

Kuna kijiji kimoja kila kijana anahusika kuchimba kaburi bila kujali wadhfa wako
 
Hata kama mnawalipa bado wana umuhimu kiongozi.
Maana tajiri au Kiongizi hawezi kazi hiyo.

Kuna kijiji kimoja kila kijana anahusika kuchimba kaburi bila kujali wadhfa wako
Sasa tusijipendekeze kwa watu kisa watatuzika, ishi nao kama binadamu anavyopasa lakini sio kushindwa kusonga kisa watakuzika. Tumefika mahali unaogopa hata kuweka gate kwako kisa majirani wataona umejitenga

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
255786550221_status_a60a494e50f941e0991323c55bd8975e.jpg
 
Sasa tusijipendekeze kwa watu kisa watatuzika, ishi nao kama binadamu anavyopasa lakini sio kushindwa kusonga kisa watakuzika. Tumefika mahali unaogopa hata kuweka gate kwako kisa majirani wataona umejitenga

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Hiyo haiwezekani, maana hakuna binadamu ambaye hatazikwa.
Tangu tumezaliwa hatujawahi kuona mzoga wa binadamu unazagaa kisa umekosa wazikaji.

Ila usiache kuwazika majirani zako mkuu
 
Sasa tusijipendekeze kwa watu kisa watatuzika, ishi nao kama binadamu anavyopasa lakini sio kushindwa kusonga kisa watakuzika. Tumefika mahali unaogopa hata kuweka gate kwako kisa majirani wataona umejitenga

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Tatizo siku hizi show off za harusi zimehamia mpaka kwenye mazishi. Wasipokuja watu wengi kwenye mazishi yako wewe ni failure mpaka kwenye kifo. Jeneza la bei mbaya, eulogy itolewe na mkuu wa mkoa, mahubiri na askofu, yawepo mavieite ya kutosha msibani, watu wale na kunywa mpaka wachoke hapo kidogo ndo sasa marehemu anaonekana kuwa na unafuu. Ubatili mtupu kwa sababu marehemu yeye wala hajui kinachoendelea.

Na kwa hili waislamu nawafagilia sana. Hakuna mbwembwe kwenye mazishi wala nini hata uwe nani utazikwa kwenye mkeka tu tena chap chap...
 
Hiyo haiwezekani, maana hakuna binadamu ambaye hatazikwa.
Tangu tumezaliwa hatujawahi kuona mzoga wa binadamu unazagaa kisa umekosa wazikaji.

Ila usiache kuwazika majirani zako mkuu

Kwa sisi ambao tumesoma elimu ya dini ya uislam kuna upande fulani unasema kuzika ni kitendo cha kutoshelezana( maana yake mtaani kwako kafa mtu wakatokea wawili au watatu wakamsitiri kwa kumzika inatosha)ila kama kijijini kwako akafa mtu mkamuacha kama kafa mbwa kijiji kizima mnapata dhambi na hata huyo mbwa mwenyewe kwanza japo ni mnyama ile harufu yake tu itawasumbua nyie majirani mtatafuta sehemu muusitiri mzigo sasa sikwambii mzoga wa binadamu iweje mji mzima washindwe hata watu kadhaa wasindwe kumhifadhi binadamu mwenzao.Hayo masuala mengine ya pesa yamekuja tu miaka ya karibuni,kuna mtu maalum au kikundi maalum ndiyo kazi yao hiyo na wanalipwa.ila kiubindamu kila familia inatakiwa ijue namna ya kuzika ili wahifadhiane aibu ndugu.Asikuambie kuna watu wengine wakifa wanatisha japo ashakuwa mzoga ila ikiwa kwenye familia kukiwa na wajuzi wa jambo hilo wanamsitiri ndugu yao kwa kuzika,kuliko kwenda kutafuta mtu wa nje aje amzike ni wajibu kujifunza sema tu huu usasa ndiyo umetuharibu.
 
Back
Top Bottom