moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,212
Hata kama mnawalipa bado wana umuhimu kiongozi.Vijijini kwetu wanalipwa siku hizi, maana tumegundua kujitolea kunawafanya wajione Wana umuhimu
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Maana tajiri au Kiongizi hawezi kazi hiyo.
Kuna kijiji kimoja kila kijana anahusika kuchimba kaburi bila kujali wadhfa wako



