Haya mkuuu
umefurahi ehh boss wee njoo tu uone kwa sisi ambao tumekulia dar si tunaona wakija wageni kutoka maeneo mengine wakianza mambo fulani wakiiva wanakuwa zaidi ya waliowakuta.kama ni mwizi unakuwa zaidi na kama ni uchawa ndiyo kabisaa.ona wakina dada wanaotoka mikoa mingine wakija mwanzo wanaonekana kama washamba fulani kwa sababu hawajui kwenda beat sasa ngoja waujue music.Dar sasa ndiyo vile ukipenda miteremko wapo masponsor ukiwa mchele unatwangwa 
.Yaani Dar isikie tu wengi wanaharibikiwa life kizembe.unaambiwa dar hakuna shamba ukalime 
ukiona ngedele ujue anafugwa.Ni mji mdogo tu ila mambo yake acha fanya uje kutembea week usije ukauziwa bahari maana huku matapeli wamejaa mno tena wa kiwango cha hali ya juu sana.Walivyo wajanja wanawangoja vituoni wale wanaokuja kutoka mikoani wanawakaribisha ili waibie tu.Hacha kumtisha mwenzio.![]()
umefurahi ehh boss wee njoo tu uone kwa sisi ambao tumekulia dar si tunaona wakija wageni kutoka maeneo mengine wakianza mambo fulani wakiiva wanakuwa zaidi ya waliowakuta.kama ni mwizi unakuwa zaidi na kama ni uchawa ndiyo kabisaa.ona wakina dada wanaotoka mikoa mingine wakija mwanzo wanaonekana kama washamba fulani kwa sababu hawajui kwenda beat sasa ngoja waujue music.Dar sasa ndiyo vile ukipenda miteremko wapo masponsor ukiwa mchele unatwangwa
.Yaani Dar isikie tu wengi wanaharibikiwa life kizembe.unaambiwa dar hakuna shamba ukalime
ukiona ngedele ujue anafugwa.Ni mji mdogo tu ila mambo yake acha fanya uje kutembea week usije ukauziwa bahari maana huku matapeli wamejaa mno tena wa kiwango cha hali ya juu sana.Walivyo wajanja wanawangoja vituoni wale wanaokuja kutoka mikoani wanawakaribisha ili waibie tu.
Hacha kumtisha mwenzio.
Ha ha ha ha
Hii taasisi ngumu sana
Kwa hiyo inawezekana huyo watu wameshaanza kumtafuna nn maana kaja na gari la mkaa leo anajifanya mtoto wa town kweli![]()
umefurahi ehh boss wee njoo tu uone kwa sisi ambao tumekulia dar si tunaona wakija wageni kutoka maeneo mengine wakianza mambo fulani wakiiva wanakuwa zaidi ya waliowakuta.kama ni mwizi unakuwa zaidi na kama ni uchawa ndiyo kabisaa.ona wakina dada wanaotoka mikoa mingine wakija mwanzo wanaonekana kama washamba fulani kwa sababu hawajui kwenda beat sasa ngoja waujue music.Dar sasa ndiyo vile ukipenda miteremko wapo masponsor ukiwa mchele unatwangwa
.Yaani Dar isikie tu wengi wanaharibikiwa life kizembe.unaambiwa dar hakuna shamba ukalime
ukiona ngedele ujue anafugwa.Ni mji mdogo tu ila mambo yake acha fanya uje kutembea week usije ukauziwa bahari maana huku matapeli wamejaa mno tena wa kiwango cha hali ya juu sana.Walivyo wajanja wanawangoja vituoni wale wanaokuja kutoka mikoani wanawakaribisha ili waibie tu.
Hahahaaa mkuuu unajua pia mwanza na jiji kitamboSimtishi huo ndiyo ukweli aje na akili zake na siyo za kushikiwa huku ndiyo dar


Hahahaaa mkuuu unajua pia mwanza na jiji kitambo![]()
Tumeziishi enzi! Picha ni nje ya mada lakini ni kituko kumfanya mtoto wa mwenzako hivi..halafu ni ukatili mkubwaView attachment 1808953
Sent using Jamii Forums mobile app