Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20210604-WA0066.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Duh! Huyu dogo mbona mnamzingua kihivi, ina maana hayati alikua anamlinda au nini kinamsibu....mpaka sasa anahangaika kuficha sura na uso, hii dunia bana tuiache kama ilivyo, hamna wa kuikomesha, wote akina Hitler, Idi Amin n.k. walishapewa ukweli wao.
Saka hela zako kihalali kisha geuza zako nyumbani kwa mkeo, achana na dunia hautaiweza.
 
Back
Top Bottom