Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Au wale wanaovaa soksi na vislipa
20210604_095245.jpg
 
Duh! Huyu dogo mbona mnamzingua kihivi, ina maana hayati alikua anamlinda au nini kinamsibu....mpaka sasa anahangaika kuficha sura na uso, hii dunia bana tuiache kama ilivyo, hamna wa kuikomesha, wote akina Hitler, Idi Amin n.k. walishapewa ukweli wao.
Saka hela zako kihalali kisha geuza zako nyumbani kwa mkeo, achana na dunia hautaiweza.
Mkuu mia mia zetu tunazo pata bila kuumiza watu zinatosha sana
 
"Wewe ni msukuma?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Dokta"
"Dogita"

"Wewe ni mhaya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Ng'ombe"
« Ngombe »

´Wewe ni msambaa?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Corona"
"Coona"

"Wewe ni mchaga?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema hizo ‘nguo uzifue"
"Hiso nguo usifue"

"Wewe ni Mmakonde"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema mtu mkubwa"
"Ntu nkubwa"

"Wewe ni mhehe?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema karantini"
"karandini"

"Wewe ni muha?
"hapana "
‘Kweli?’
‘Ndiyo’
"sema ‘nne’"
« Ine »

"Wewe ni mkurya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema uji"
« Uchi »

"Wewe ni mpare?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Samaki"
"Thamaki"

Wewe ni mmeru?
Hapana
Kweli?
Ndio
Sema parachichi!
"Barashishi"

Wewe ni Mnyakusa?
Hapa na
Kweli?
Ndiyo
Sema chupa ya chai!
" Kyupa ya kyai"



 
Back
Top Bottom