Hahahahahahaha

HahahaaaKumbe na wewe Mnyaki duh! Mko wengi sana aisee. Mimi nawapenda sana kwa kweli. Mko wapole hamna maneno mengi ali mradi tu mpate maparachichi yenu basi...na mlivyoumbika sasa uwiii !!! Msukuma miye ng'ombe wote naweza kuwaachia yaani![]()
King Kong III utadhubutu?
Thanks God nilijitunza,ukizingatia mzee alikuwa mjeda basi balaaa no kutoka
Hukujitunza kivileee, bali uliogopa mzee tu angekuletea shida na ulikuwa mtoto wa geti kali!Thanks God nilijitunza,ukizingatia mzee alikuwa mjeda basi balaaa no kutoka
Mabinti huwa wanarubuniwa halafu kuna ile unasema ngoja nione ladha yake, vyote hivo vinashawishi,Hukujitunza kivileee, bali uliogopa mzee tu angekuletea shida na ulikuwa mtoto wa geti kali!