Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,084
Bila shaka ulishawishika pia, lakini ungeanzaje kutoka?! Ndio ikawa ponea yako!Mabinti huwa wanarubuniwa halafu kuna ile unasema ngoja nione ladha yake, vyote hivo vinashawishi,
Bila shaka ulishawishika pia, lakini ungeanzaje kutoka?! Ndio ikawa ponea yako!Mabinti huwa wanarubuniwa halafu kuna ile unasema ngoja nione ladha yake, vyote hivo vinashawishi,
Haaaaa, hadi sasa na uzee huu nilienda Home kusalimiana mwaka jana mzee yupo mbali lakini anapiga simu kwa mama aniambie kuwa niwe makini kuna ukimwi, ilibidi Mimi na mama tucheke tyuBila shaka ulishawishika pia, lakini ungeanzaje kutoka?! Ndio ikawa ponea yako!
Haaaaa Haaaaa 😂 uwiiiiie
Haahahaa hapo mtihani,nisingeenda jela ningeplay smart,ndomu tu hakuna kuuza mechi halafu kila mechi inaenda kuchezewa ugenini na sio uwanja wa nyumbani.... 😀 😀 😀.King Kong III utadhubutu?
Ni wajibu wake kukumbusha kama kijana wakeHaaaaa, hadi sasa na uzee huu nilienda Home kusalimiana mwaka jana mzee yupo mbali lakini anapiga simu kwa mama aniambie kuwa niwe makini kuna ukimwi, ilibidi Mimi na mama tucheke tyu

itakuwa aliwekwa mtoto mchanga iyo

Long time

Hapo amebeba na yale yanayoelezea namna ya kuzuia mvua kwa sayansi ya asiliAah,babu mafaili yote siku ya kwanza tu kweli?View attachment 1804178