Kirokonya
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 2,280
- 7,557
Ina maana Mungu wa Israel ni kwa ajili ya Waafrika na siyo Waizirael OG?
Mbona kama Waafrika tumeliwa?
Ina maana Mungu wa Israel ni kwa ajili ya Waafrika na siyo Waizirael OG?
Private ya nn, kichwa kichwa. 😂
Duh, cheki hilo toto la kwanza, eti liko shule... 😂 😂 😂 🧐Ukipata kazi kwenye hii shule itakuchukua muda gani kwenda jela?View attachment 1798588
Kwa Tanzania lo lote lawezekana mkuu. Huko kwenu baada ya Muigai hapo mwaka kesho unafikiri ni nani atachukua? Rutto? Odinga? Ila siasa zenu ngumu kidogo kwa sababu zinaingiza na mambo ya ukabila kidogo.
Siasa hutegemea na namna gani utacheza na akili za wajinga wengi ili wakupe uongozi, unaweza ukatumia ukabila, dini, rangi, ukanda, uchama na kadhalika, na hamna nchi isiyokua na hizi mbinu.
Hata Tanzania tumeshuhudia Magufuli akitumia Usukuma maana ndio wengi, alikua akiomba kura kwa Kisukuma na kujifanya mmoja wao ilhali ukweli anatoka kwa kabila ndogo lililojificha huko Usukumani, pia akatumia ukanda, na uchama na hata udini.
Hamna namna unaweza ukashinda urais hapa Afrika bila kuwalemaza watu kwenye ubongo, na huo ndio ujinga ulioko kwetu huku, pumba tupu mijitu inatokwa povu na kuvimba mishipa ikitetea kiongozi kisa katokea kwao au kanda yake.
Usimfananishe Hayati Magufuli na vitu vya kijinga. Aaaallaaaaaaaaaaaaa
Mbona kuzinguana, kibubu umekivunja alafu noti zote zimekaa straight hivo?Kavunja kibubuView attachment 1800093
Bora kafa mapema mana angeuwa watu wengi. Hiyo minba angeizàje bila kuguswa
Watoto wa Abeli labda! 🤣
Hichi kidogi kina mshangao kama wa Samuel L Jackson! 🤣 🤣 🤣
Biblia nayo ina mapungufu yake..