Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwa Tanzania lo lote lawezekana mkuu. Huko kwenu baada ya Muigai hapo mwaka kesho unafikiri ni nani atachukua? Rutto? Odinga? Ila siasa zenu ngumu kidogo kwa sababu zinaingiza na mambo ya ukabila kidogo.

Usimwonee aibu kwenye hio kauli ya ukabila, siasa za Kenya zinaamuliwa na ukabila kwa kiasi kikubwa sana, kama ilivyo Tz chama kwanza kabla ya Mtu na sera!
 
Siasa hutegemea na namna gani utacheza na akili za wajinga wengi ili wakupe uongozi, unaweza ukatumia ukabila, dini, rangi, ukanda, uchama na kadhalika, na hamna nchi isiyokua na hizi mbinu.
Hata Tanzania tumeshuhudia Magufuli akitumia Usukuma maana ndio wengi, alikua akiomba kura kwa Kisukuma na kujifanya mmoja wao ilhali ukweli anatoka kwa kabila ndogo lililojificha huko Usukumani, pia akatumia ukanda, na uchama na hata udini.
Hamna namna unaweza ukashinda urais hapa Afrika bila kuwalemaza watu kwenye ubongo, na huo ndio ujinga ulioko kwetu huku, pumba tupu mijitu inatokwa povu na kuvimba mishipa ikitetea kiongozi kisa katokea kwao au kanda yake.

Usimfananishe Hayati Magufuli na vitu vya kijinga. Aaaallaaaaaaaaaaaaa
 
Kavunja kibubu
IMG_8639.JPG
 
Back
Top Bottom