Life starts at 45
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 1,000
- 998
Hapa wazazi walipigwa!!
Kwa Tanzania lo lote lawezekana mkuu. Huko kwenu baada ya Muigai hapo mwaka kesho unafikiri ni nani atachukua? Rutto? Odinga? Ila siasa zenu ngumu kidogo kwa sababu zinaingiza na mambo ya ukabila kidogo.Huyu spika wenu kwa hizi kauli zake siku hizi kuna uwezekano akatia nia ya urais 2025, ameanza kufanya majaribio kwa mbali.