minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,750
- 4,948
Hapo zamani Tanzania ilipogundua dawa ya COVID 19View attachment 1788777
Hahaaa walivyonyanyua glass
Hapo zamani Tanzania ilipogundua dawa ya COVID 19View attachment 1788777
Tatizo figure Mkuu.
Hapo lazma afande mmoja aumieView attachment 1796134
Mtuhumiwa pale anaporesist kukamatwa!
Kumbe kuna mtu, nilidhani liko yard! 🤣 🤣 🤣
Huyu mbwiga anatumia mkorogo

nilikuwa namwambia askari nisingeweza kwenda kituoni mpaka wakili wangu afike!