Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Hapo ndipo nilkuwa nakatiza bila aibu, ukitaka kunipiga baadaye wakati nimeshiba lakini! 🤣 🤣 🤣 Nlkuwa sugu kweli, Duh... Cheza na chakula wewe! 😁
Hapo ndipo nilkuwa nakatiza bila aibu, ukitaka kunipiga baadaye wakati nimeshiba lakini! 🤣 🤣 🤣 Nlkuwa sugu kweli, Duh... Cheza na chakula wewe! 😁
Maisha ya shule yalikuwa magum sana hasa kwenye chakulaHapo ndipo nilkuwa nakatiza bila aibu, ukitaka kunipiga baadaye wakati nimeshiba lakini!![]()
![]()
Nlkuwa sugu kweli, Duh... Cheza na chakula wewe!
![]()

Hii part Scofield aliicheza kwa ubora wake aisee, huyu jamaa kweli expert wa maigizo... If you know, you know!!! 😎😎😎
Mh, hapa wala mpaka nanihino! 🏃🏾 🏃🏾 🏃🏾 😂Chombeza kidogoView attachment 1794895
Alafu iwe ni siku ya wali-maharagwe, hehehe, hapo kikiisha mnagojea 1 hr, ndio mpikiwe Ugali-mlenda... Walikuwa wahuni wapishi!!! 🤣 🤣 🤣 🤣(first come first serve Lakini majamaa Ni survival for the fittest)Maisha ya shule yalikuwa magum sana hasa kwenye chakula![]()
Siku ya wali ndio huwa watu wanakosa chakula hata wapike masufuria mangapiAlafu iwe ni siku ya wali-maharagwe, hehehe, hapo kikiisha mnagojea 1 hr, ndio mpikiwe Ugali-mlenda... Walikuwa wahuni wapishi!!!![]()
![]()
![]()
(first come first serve Lakini majamaa Ni survival for the fittest)


Hapo kikinuka kila mtu anajua la kufanya! 🤣Wafungue kambi ya ulinzi![]()
Mnaoitwa John mtanisamehe
Nikajua ni mimi tu....
Lazima ujifanye hutak kidogoNikajua ni mimi tu....

Vipi wajomba? 😂
Nimecheka hadi nimetoa chozi hahahahhahaha