Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16199300343775428.jpg
 
Kuna jamaa siku moja alipost kwenye mtandao wakijamii (facebook)kuomba ela elfu kumi yeyote mwenye nayo, akajitokeza dada mmoja wakachat akamtumia pesa kumbe jamaa alikua ni tajir alikua anatafuta mtu mwema yule jamaa akamtafuta yule dada na kumzawadia gari na nyumba yenye thaman ya sh mil 50, na akawa msaidizi wa bishara zake . Anyways kwa kufupisha story tu, nina shida ya elfu 50 kwa yeyote mwenye nayo"
 
Kuna jamaa siku moja alipost kwenye mtandao wakijamii (facebook)kuomba ela elfu kumi yeyote mwenye nayo, akajitokeza dada mmoja wakachat akamtumia pesa kumbe jamaa alikua ni tajir alikua anatafuta mtu mwema yule jamaa akamtafuta yule dada na kumzawadia gari na nyumba yenye thaman ya sh mil 50, na akawa msaidizi wa bishara zake . Anyways kwa kufupisha story tu, nina shida ya elfu 50 kwa yeyote mwenye nayo"
 
Back
Top Bottom