[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🏃🏃🏃Hivi ungejua mimi ndiye yule Sanchi mwenye tako la kuvunja chaga usingesema hivi, hizi fake I'ds hizi basi tu😀😀
Sio bongo dar es salaam,hata kwa ilizi lingefunguka lenyewe watalebani wakafanya yao.I can never believe this[emoji15][emoji15][emoji15]...haki ya Mungu,wazungu wana mchezo sana na pesa ila nna uhakika Buza hizi pesa zisingefika hata nusu siku.. damnit [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1789407
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji125][emoji125][emoji125]
Tuheshimiane mkuu, mimi ni Sanchi 😬😬
Thank you Salimeti! 😀Nitakupambania mpaka tone la mwisho soulimeti [emoji123][emoji123][emoji123]