🏃🏃🏃Hivi ungejua mimi ndiye yule Sanchi mwenye tako la kuvunja chaga usingesema hivi, hizi fake I'ds hizi basi tu😀😀
Sio bongo dar es salaam,hata kwa ilizi lingefunguka lenyewe watalebani wakafanya yao.I can never believe this...haki ya Mungu,wazungu wana mchezo sana na pesa ila nna uhakika Buza hizi pesa zisingefika hata nusu siku.. damnit
View attachment 1789407
Tuheshimiane mkuu, mimi ni Sanchi 😬😬
Thank you Salimeti! 😀Nitakupambania mpaka tone la mwisho soulimeti![]()



...Kenge mmoja.