Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,297
- 21,699
Hii imenitokea live kabisa!Nakumbuka niliamka mapigo ya moyo yakiwa yanaenda kasi sana😡😡😡
Subiri utauona moto wa vimbaumbau soon. Vina hasira na gubu hatari




Huyu ni rafiki angu financial services😄😄😄
Hana tako,ni kimbaombao!
Sitaki urafiki na wewe😀😀😀 ,pua yakoHuyu ni rafiki angu financial services😄😄😄
Wewe ndiye rafiki yangu pekee ambae hana tako!🏃🏃🏃Sitaki urafiki na wewe😀😀😀 ,pua yako
Hii Mufindi bila shaka mkuuBange za chuga hazijaacha mtu SalamaView attachment 1789209
Ahsante kwa kunitetea Salimeti! Amenionea sana huyu mbaba sijui ananionaje mimi😒
Hivi ungejua mimi ndiye yule Sanchi mwenye tako la kuvunja chaga usingesema hivi, hizi fake I'ds hizi basi tu😀😀Hana tako,ni kimbaombao!
😀😀 kwani tako ndiyo linalipa bills bana😬 usinichosheWewe ndiye rafiki yangu pekee ambae hana tako!🏃🏃🏃