iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 5,008
- 9,408
😂 😂 😂 Wanajua kila kitu wale washenzi! 🤣 🤣 🤣 Ati DIY... 😂
Wachuga huyo dogo! 🤣
Nchi ngumu hiiHapo zamani Tanzania ilipogundua dawa ya COVID 19View attachment 1788777
Maaaa😲😳😂😂😂 hapo ni Sudan ka sijakosea, manake doh, ndio zao kuenda matawi ya juu dadeq! 🤣 🤣 🤣Maghorofa gani posta yamejengwa kwa mpangilio wa namna hii...View attachment 1788762
Ndio hawa wale mavajoh 72 ama? 😂 😂 😂
Wanaoshuka zile masehemu hufeel hivi pia! 😬
Na ile ya kwenda chini kabisa, kiuno kiwe kinaelea juu tu, vipi ina saidia pia? Kuna mdada anauliza hapa! 🤣 🤣 🤣
Hiyo ingekuwa dawa, hakika sahi mngekuwa China ndogo. Sio kwa mihela ya kata funua! 🤣 🤣 🤣Hapo zamani Tanzania ilipogundua dawa ya COVID 19View attachment 1788777
Niliulizia humu jf kuhusu visa ya huko, sijapata jibu! 🤣
Si jonde hili mkuu? 😬😁
Nakupiga bomba kama Hamas, dadeq! 🤣 🤣 🤣
Ashazoea lamba lamba! 🤣