Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Kazi na iendelee
Aaaaaa, Mkuu, huwa wanavurugika sana kama ukigonga nyoka kwa kichwa sawasawa! muda huo wanabebaga kichaa cha muda! Wengine hadi kuzimia kupo.
Utamu hadi kisogo, I like it.
Pesa ndio ulimbo kwa mwanamke yoyote!
Halafu wanakwambia, sijaolewa kiviiiiile.
soon!! atazuga anaanza kulia akiulizwa na mpenzi wake. Huyo hapo nyuma jibu ni oooh!Kamekumbuka kifo cha bibi yake yake!!
Mbon mara 3 hivyo...nguvu zenyewe za kiume nini?
Hawatakagi kufa na vitu vya umma..wasije kwenda kutumbuliwa na Magu huko kaburini