moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,217
Kwahiyo hata kama kamkuta mahali analiwa 0713 unataka avumilie tu kisa atamzalia watoto wazuri?hayaaa unaacha damu nzuri hivi????
angekuzalia vitoto vizuri ni acha kabisa! au joka la kibisa???
watoto wazuri hawaseme wagi mbov mubofu!!! una tatizo mahali wewe.
weee!! angalia mfalme Daudi alifika bei kwa mke wa Hulia.
samsoni ndo usisemew kabisaaaa!!
huyu hakosi soko utaishia kujinyonga tuuu!! subili








