Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Ni yale yale ya kusema eti unasubiri mpaka siku ya harusi kumbe mabaharia wanamtafuna bila huruma



Sikuhizi nasikia huwa hawasubiri hata wakue, wanawala na chumvi tuNi yale yale ya kusema eti unasubiri mpaka siku ya harusi kumbe mabaharia wanamtafuna bila huruma

Haka kapicha kamelata kamzozo









BLINKING NEWS
Nimefatilia Taarifa ya Press ya Waziri wa michezo Juu ya Mechi ya SIMBA na YANGA ni Kwamba Lema na Jaji Mkuu kifo cha yule diwani aliyeuawa guest ni kwmba Ali Kiba Ndiye Msanii Bora kwa sasa Tanzania hayo aliyasema Ozil wakati Anafunga goli dhidi ya Hardware za Kusambaza Mchanga Kwenye Uchaguzi wa Kumtafuta Miss Temeke Husaidia Mtu Aoge kwenye Gari Ambalo Halina Laptop zenye Ukubwa wa Chai ya Maziwa yenye Barabara za Kwenda Calculator hadi Maji Makubwa ya Kilimanjaro ndio huleta Matairi ya Kifaru cha Mwinuko wa Bahari Kwenye Ukuta wa Maji.
![]()



kweli ni blinking news



Joe Frazier Sr alimdanganya mwanae kuwa alikuwa tayari kupambana na Iron Mike. Matokeo yake ilibakia kidogo auliwe. Wazazi pimeni uwezo wa wanenu kabla hamjawalazimisha kufanya mambo yanayowazidi kimo!
View attachment 1780153
It was a complete mismatch yaani. Na hakuwahi kupigana tena baada ya hili zali.
Hahahaha... within 20 seconds....