Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Wazungu wamezoea painkillers sana, hata kwenye movie zao wanaonyesha haswa. Maumivu kidogo, kidawa na maji tayari, hakuna cha kupimwa wala kumwona doki. Nomaree!Hiki siyo kituko.
punguza kumeza meza panadolView attachment 1773716



