Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ni shiiiida
IMG_20210427_155614.jpg
 
ZIJUE AINA ZA POMBE NA SIFA ZAKE

Wakiindi _hii inakufanya uyaone maisha ni laini na kujiona wewe ni kila kitu

Komoni _ hii inakupa ufundi na ujasiri wa kutongoza demu yeyote unayemtaka

Chipumu _ hii inakufanya ujione wewe ni Tajiri

Wanzuki_ Sifa yake kuu ukinywa ni kujiamni na una uwezo hata wakupigana na Tembo

Ulanzi_ Hii ukinywa miguu inakua kama umefungiwa mawe

Mbege_ hii sifa yake ukiinywa unajiona mbabe

Gongo _Hii ni babukubwa ukinywa lita moja kwa siku kesho yake kaburi linakuhusu

Pingu _ Ukiinywa hii jiandae kujinyea njia nzima

Kibuku _ hii ukiinywa sifa kubwa ni kuongea kiingereza inafaa sana kwenunye interview za English

Ulaka _ hii sifa yake kubwa ni inakupa experience ya kutoa matusi inafaa sana ukigombana na mtu

Chang"aa _ sifa yake hii ni kupenda kusifiwa unataman ufanye vitu vizur watu wakisifie

Kangala _ hii sifa yake ni utulivu ukiipiga hii usingizi mnono unaupata

Hapo mi zote napiga ila inategemea na hari na mudaby kichaa karogwa tena
hivi gongo na chang'aa sio kitu kimoja!?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
ZIJUE AINA ZA POMBE NA SIFA ZAKE

Wakiindi _hii inakufanya uyaone maisha ni laini na kujiona wewe ni kila kitu

Komoni _ hii inakupa ufundi na ujasiri wa kutongoza demu yeyote unayemtaka

Chipumu _ hii inakufanya ujione wewe ni Tajiri

Wanzuki_ Sifa yake kuu ukinywa ni kujiamni na una uwezo hata wakupigana na Tembo

Ulanzi_ Hii ukinywa miguu inakua kama umefungiwa mawe

Mbege_ hii sifa yake ukiinywa unajiona mbabe

Gongo _Hii ni babukubwa ukinywa lita moja kwa siku kesho yake kaburi linakuhusu

Pingu _ Ukiinywa hii jiandae kujinyea njia nzima

Kibuku _ hii ukiinywa sifa kubwa ni kuongea kiingereza inafaa sana kwenunye interview za English

Ulaka _ hii sifa yake kubwa ni inakupa experience ya kutoa matusi inafaa sana ukigombana na mtu

Chang"aa _ sifa yake hii ni kupenda kusifiwa unataman ufanye vitu vizur watu wakisifie

Kangala _ hii sifa yake ni utulivu ukiipiga hii usingizi mnono unaupata

Hapo mi zote napiga ila inategemea na hari na mudaby kichaa karogwa tena
Dengelua vp umesahau mkuu
Ipi sifa yake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mtu mmekunywa naye Bia miaka 4 akiwa Jobless.. Kapata Kazi anadai Ameokoka ameacha Pombe

Inauma Sana! huyu ukimloga hupati dhambi

Hata akiokoka bia zetu lazima azilipie tutapeleka bili huko huko wokovuni
 
Back
Top Bottom