umaskini mbayaYuno waririzzView attachment 1765381
hivi gongo na chang'aa sio kitu kimoja!?ZIJUE AINA ZA POMBE NA SIFA ZAKE
Wakiindi _hii inakufanya uyaone maisha ni laini na kujiona wewe ni kila kitu
Komoni _ hii inakupa ufundi na ujasiri wa kutongoza demu yeyote unayemtaka
Chipumu _ hii inakufanya ujione wewe ni Tajiri
Wanzuki_ Sifa yake kuu ukinywa ni kujiamni na una uwezo hata wakupigana na Tembo
Ulanzi_ Hii ukinywa miguu inakua kama umefungiwa mawe
Mbege_ hii sifa yake ukiinywa unajiona mbabe
Gongo _Hii ni babukubwa ukinywa lita moja kwa siku kesho yake kaburi linakuhusu
Pingu _ Ukiinywa hii jiandae kujinyea njia nzima
Kibuku _ hii ukiinywa sifa kubwa ni kuongea kiingereza inafaa sana kwenunye interview za English
Ulaka _ hii sifa yake kubwa ni inakupa experience ya kutoa matusi inafaa sana ukigombana na mtu
Chang"aa _ sifa yake hii ni kupenda kusifiwa unataman ufanye vitu vizur watu wakisifie
Kangala _ hii sifa yake ni utulivu ukiipiga hii usingizi mnono unaupata
Hapo mi zote napiga ila inategemea na hari na muda[emoji23][emoji23]by kichaa karogwa tena
Vituko mtandaoniKwanini haiwezekani? Bro wangu ni mrefu na huruka hewani na kukaa hewani for 2 mnts
Dakika 8?Jordan aliwahi kuDUNK na kukaa on air for 8 minutes View attachment 1765272
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
[emoji5]8 minutes hewan!!? [emoji2211]
Wamueza figo ili wanunue simuYuno waririzzView attachment 1765381
daah😂Hao jamaa wametoa figo wamenunua iPhone
Musukuma na Kibajaji wataua MTU.Hatareee...View attachment 1765435
Dengelua vp umesahau mkuuZIJUE AINA ZA POMBE NA SIFA ZAKE
Wakiindi _hii inakufanya uyaone maisha ni laini na kujiona wewe ni kila kitu
Komoni _ hii inakupa ufundi na ujasiri wa kutongoza demu yeyote unayemtaka
Chipumu _ hii inakufanya ujione wewe ni Tajiri
Wanzuki_ Sifa yake kuu ukinywa ni kujiamni na una uwezo hata wakupigana na Tembo
Ulanzi_ Hii ukinywa miguu inakua kama umefungiwa mawe
Mbege_ hii sifa yake ukiinywa unajiona mbabe
Gongo _Hii ni babukubwa ukinywa lita moja kwa siku kesho yake kaburi linakuhusu
Pingu _ Ukiinywa hii jiandae kujinyea njia nzima
Kibuku _ hii ukiinywa sifa kubwa ni kuongea kiingereza inafaa sana kwenunye interview za English
Ulaka _ hii sifa yake kubwa ni inakupa experience ya kutoa matusi inafaa sana ukigombana na mtu
Chang"aa _ sifa yake hii ni kupenda kusifiwa unataman ufanye vitu vizur watu wakisifie
Kangala _ hii sifa yake ni utulivu ukiipiga hii usingizi mnono unaupata
Hapo mi zote napiga ila inategemea na hari na muda[emoji23][emoji23]by kichaa karogwa tena
Nilifikiri ni. Lovesong za miaka hiyo ya kwetu 😢😢
Haaaaa Haaaaa 😂 😂[emoji38][emoji38]View attachment 1765622