umaskini mbayaYuno waririzzView attachment 1765381
hivi gongo na chang'aa sio kitu kimoja!?ZIJUE AINA ZA POMBE NA SIFA ZAKE
Wakiindi _hii inakufanya uyaone maisha ni laini na kujiona wewe ni kila kitu
Komoni _ hii inakupa ufundi na ujasiri wa kutongoza demu yeyote unayemtaka
Chipumu _ hii inakufanya ujione wewe ni Tajiri
Wanzuki_ Sifa yake kuu ukinywa ni kujiamni na una uwezo hata wakupigana na Tembo
Ulanzi_ Hii ukinywa miguu inakua kama umefungiwa mawe
Mbege_ hii sifa yake ukiinywa unajiona mbabe
Gongo _Hii ni babukubwa ukinywa lita moja kwa siku kesho yake kaburi linakuhusu
Pingu _ Ukiinywa hii jiandae kujinyea njia nzima
Kibuku _ hii ukiinywa sifa kubwa ni kuongea kiingereza inafaa sana kwenunye interview za English
Ulaka _ hii sifa yake kubwa ni inakupa experience ya kutoa matusi inafaa sana ukigombana na mtu
Chang"aa _ sifa yake hii ni kupenda kusifiwa unataman ufanye vitu vizur watu wakisifie
Kangala _ hii sifa yake ni utulivu ukiipiga hii usingizi mnono unaupata
Hapo mi zote napiga ila inategemea na hari na mudaby kichaa karogwa tena
Vituko mtandaoniKwanini haiwezekani? Bro wangu ni mrefu na huruka hewani na kukaa hewani for 2 mnts
Dakika 8?Jordan aliwahi kuDUNK na kukaa on air for 8 minutes View attachment 1765272
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wamueza figo ili wanunue simuYuno waririzzView attachment 1765381
daah😂Hao jamaa wametoa figo wamenunua iPhone
Musukuma na Kibajaji wataua MTU.Hatareee...View attachment 1765435
Dengelua vp umesahau mkuuZIJUE AINA ZA POMBE NA SIFA ZAKE
Wakiindi _hii inakufanya uyaone maisha ni laini na kujiona wewe ni kila kitu
Komoni _ hii inakupa ufundi na ujasiri wa kutongoza demu yeyote unayemtaka
Chipumu _ hii inakufanya ujione wewe ni Tajiri
Wanzuki_ Sifa yake kuu ukinywa ni kujiamni na una uwezo hata wakupigana na Tembo
Ulanzi_ Hii ukinywa miguu inakua kama umefungiwa mawe
Mbege_ hii sifa yake ukiinywa unajiona mbabe
Gongo _Hii ni babukubwa ukinywa lita moja kwa siku kesho yake kaburi linakuhusu
Pingu _ Ukiinywa hii jiandae kujinyea njia nzima
Kibuku _ hii ukiinywa sifa kubwa ni kuongea kiingereza inafaa sana kwenunye interview za English
Ulaka _ hii sifa yake kubwa ni inakupa experience ya kutoa matusi inafaa sana ukigombana na mtu
Chang"aa _ sifa yake hii ni kupenda kusifiwa unataman ufanye vitu vizur watu wakisifie
Kangala _ hii sifa yake ni utulivu ukiipiga hii usingizi mnono unaupata
Hapo mi zote napiga ila inategemea na hari na mudaby kichaa karogwa tena
Nilifikiri ni. Lovesong za miaka hiyo ya kwetu 😢😢
Haaaaa Haaaaa 😂 😂