ZIJUE AINA ZA POMBE NA SIFA ZAKE
Wakiindi _hii inakufanya uyaone maisha ni laini na kujiona wewe ni kila kitu
Komoni _ hii inakupa ufundi na ujasiri wa kutongoza demu yeyote unayemtaka
Chipumu _ hii inakufanya ujione wewe ni Tajiri
Wanzuki_ Sifa yake kuu ukinywa ni kujiamni na una uwezo hata wakupigana na Tembo
Ulanzi_ Hii ukinywa miguu inakua kama umefungiwa mawe
Mbege_ hii sifa yake ukiinywa unajiona mbabe
Gongo _Hii ni babukubwa ukinywa lita moja kwa siku kesho yake kaburi linakuhusu
Pingu _ Ukiinywa hii jiandae kujinyea njia nzima
Kibuku _ hii ukiinywa sifa kubwa ni kuongea kiingereza inafaa sana kwenunye interview za English
Ulaka _ hii sifa yake kubwa ni inakupa experience ya kutoa matusi inafaa sana ukigombana na mtu
Chang"aa _ sifa yake hii ni kupenda kusifiwa unataman ufanye vitu vizur watu wakisifie
Kangala _ hii sifa yake ni utulivu ukiipiga hii usingizi mnono unaupata
Hapo mi zote napiga ila inategemea na hari na muda


by kichaa karogwa tena