Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

2.5583951347360563E18.jpg
 
Ni kweli kamanda, mwanadamu ni kiumbe aliyejaa hila, choyo, wivu, husda, tamaa nk.
Kuna watu wengi wasiopenda kuona kuinuka kwa wengine.
Wengi tunapenda kuona kuanguka kwao, ilikuwa hivyo pia hata kwa mzee Ali Hassan Mwinyi wakati analazimishwa kujiuzulu uwaziri kwa kashfa zilizofanywa na wengine.
Lakini baadaye akainuka mpaka juu kabisa.
Yaweza kuwa hivyo pia kwa mwingine, lakini ni vema kuyaishi maisha ya siasa kwa adabu. maana hatujui kesho yetu itakuwaje
Mimi ni mmoja wapo wa WALIOFURAHI KUANGUKA KWA KATIBU MKUU huyu
alituvuruga kila kona, alichomeka anayoyajua, akajisahau kuwa cheo ni dhamana
acheni naye yamkute, kuanguka ni kuanguja tu
 
Back
Top Bottom