Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Ni kweli kamanda, mwanadamu ni kiumbe aliyejaa hila, choyo, wivu, husda, tamaa nk.Hana majaribu yo yote huyu. Nyie endeleeni kufurahia kwa sababu ni haki yenu. Ndivyo dunia ilivyo. Hata uwe mwema namna gani siku ukitetereka jua utachekwa tu. Alichekwa Bwana Yesu sembuse mimi na weye Ostaadh? Funzo hapa kwangu na wewe ni kwamba tuishi kwa wema na haki lakini pia tutambue kuwa siku tukianguka watu wengi tu watafurahi; na watacheka. Na kama tuliishi maisha mema na yenye kuliwaza roho zetu na za wengine hilo halipaswi kutuumiza![]()
Ukiona mamia ama maelfu wanashangilia anguko lako, jitafakari.Mwenyewe amewahi kulisema hili? Kuwa anaumia sana kupoteza hizo nafasi? Ataumia tu kama hajitambui. Wangapi tumewaona wakipoteza hizo nafasi wakakaa kimya halafu wakarudi, tena kwa nafasi za juu zaidi? Tena huyu balozi na mbunge?
Simtetei na wala simjui lakini Wabongo tuna tabia mbaya ya kufurahi na kushangilia "wenzetu" wanapoanguka hata kama kuanguka kwao hakutusaidii kwa namna yo yote ile. Tabia hii ipo kuanzia kwenye familia na kwingineko. Ni tabia ya hovyo!
Hii kwangu haifunguki, kulikoni"Ndugu naibu supika, mimi na wenzangu tushakuzwa..."
Thubutuuu....akufukuze nani?View attachment 1762043
Kweli mkuu kwa namna hii."Ndugu naibu supika, mimi na wenzangu tushakuzwa..."
Thubutuuu....akufukuze nani?View attachment 1762043
Rutashobya Rugaimukamu kaingia na BMW nyeusi kama alivyoahidi alipokuwa Geneva


