Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Kuna mmoja nilifunga nae nasikia alikuja kuwa Mjeshi tulikuwa tunamatch Kwa umri ,kila siku harusi ,msosi tunajichanga tunabana Hadi sadaka zile pipi nyeupe, embe mbichi na chumvi.
Inategemea Kama bdo ina deni nje ya nchi
Hebu mtafute mpige stori bana ikibidi mkumbushie harusi yenuKuna mmoja nilifunga nae nasikia alikuja kuwa Mjeshi tulikuwa tunamatch Kwa umri ,kila siku harusi ,msosi tunajichanga tunabana Hadi sadaka zile pipi nyeupe, embe mbichi na chumvi.

Amficha plate number kumbe imeandikwa kwenye tairi
Aweke na **** yake hapa tuione na tuithaminishe na 500M