Umenikamata hapa mjinga wewe
Niliufanya sana huu ujanja! 🤣
Ame relax tu 😂
Swaumu hii jamani swaumu hii itaondoka na roho ya mtu......chungu cha nne Leo..View attachment 1754450

hoi!!Hao ni wenzetu wa ziwani tu, usijiulize sana![]()
MshindweeeNimeona yule jamaa alikataa hiyo, akadai eti ni waluhya wa Kenya wakati wana viashiria vyote vya usukumani![]()



Hahahaha. Trust NO one.Umenikamata hapa mjinga wewe
Ninaye rafiki kama huyo...mshenz sana huyo jamaa,anaweza kuwa na 50000 mfukoni lkn akikuona na 5000 lazma atakuomba 2000 au 1000...