Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
This is funny!Ambae hajaalikwa hapo ni yupi?🤣🤣🤣 Bushmamy hakikisha kuwa unakuja peke yako please!
This is funny!Ambae hajaalikwa hapo ni yupi?🤣🤣🤣 Bushmamy hakikisha kuwa unakuja peke yako please!
Hivi niulize,kwani Bei ya vifurushi imeongezewa kiasi gani,naona Ndugu zetu Wana wa Tanganyika mnalalamika sana
Itakuwa ni huyu mwenye shati jeupe





Simuon mdingi hapoMama akila Pasaka na watoto. Nani kama mama?
View attachment 1743148
Hii sio ile ya 2018?Mama akila Pasaka na watoto. Nani kama mama?
View attachment 1743148
🤣🤣🤣Jamaa anamuangalia kwa uchungu sana!😄😄😄Itakuwa ni huyu mwenye shati jeupe![]()
Hapa mtu si anamwaga mpaka akili
Huwa sielewi katuni yoyote sijui athari za kuzaliwa Enzi za Mawe?.
Nawaambia huyu mama hahitaji mabegi ya kuiba Kura aende hivi hivi Mei Mosi kesho Tu nasi tupike kuku.