Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wazalendo..............
national anthem
FB_IMG_16171259837608992.jpg
 
Yote kwa yote walioniacha hoi ni hawa . Na mhariri wa gazeti. Imagine mambo yako hivi kwa jambo dogo kama hili, kuna umakinifu kweli hata kwenye mambo mazito na yenye maslahi kwa taifa? Sasa naamini hata mamikataba yale ya madini ambapo tulikuwa tunapata asilimia 5 tu jamaa walikuwa wanaangusha misahihi tu hata bila kuyasoma hayo mamikataba yanasemaje. Yaani hata Chifu Mangungo wa Msovero ana unafuu kwa vile yeye hata lugha ya jasusi Carl Peters hakuielewa. Inahuzunisha !!!
View attachment 1738890
 
Back
Top Bottom