Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20210330_091653_878.jpg
 
Yote kwa yote walioniacha hoi ni hawa . Na mhariri wa gazeti. Imagine mambo yako hivi kwa jambo dogo kama hili, kuna umakinifu kweli hata kwenye mambo mazito na yenye maslahi kwa taifa? Sasa naamini hata mamikataba yale ya madini ambapo tulikuwa tunapata asilimia 5 tu jamaa walikuwa wanaangusha misahihi tu hata bila kuyasoma hayo mamikataba yanasemaje. Yaani hata Chifu Mangungo wa Msovero ana unafuu kwa vile yeye hata lugha ya jasusi Carl Peters hakuielewa. Inahuzunisha !!!
View attachment 1738890
Niliwaza hivi hili gazeti halina mhariri mkuu. Shenzi kabisa hawa jamaa
 
Yote kwa yote walioniacha hoi ni hawa . Na mhariri wa gazeti. Imagine mambo yako hivi kwa jambo dogo kama hili, kuna umakinifu kweli hata kwenye mambo mazito na yenye maslahi kwa taifa? Sasa naamini hata mamikataba yale ya madini ambapo tulikuwa tunapata asilimia 5 tu jamaa walikuwa wanaangusha misahihi tu hata bila kuyasoma hayo mamikataba yanasemaje. Yaani hata Chifu Mangungo wa Msovero ana unafuu kwa vile yeye hata lugha ya jasusi Carl Peters hakuielewa. Inahuzunisha !!!
View attachment 1738890
Mkuu elimu yetu bado ipo ICU kwa staili hii

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yote kwa yote walioniacha hoi ni hawa . Na mhariri wa gazeti. Imagine mambo yako hivi kwa jambo dogo kama hili, kuna umakinifu kweli hata kwenye mambo mazito na yenye maslahi kwa taifa? Sasa naamini hata mamikataba yale ya madini ambapo tulikuwa tunapata asilimia 5 tu jamaa walikuwa wanaangusha misahihi tu hata bila kuyasoma hayo mamikataba yanasemaje. Yaani hata Chifu Mangungo wa Msovero ana unafuu kwa vile yeye hata lugha ya jasusi Carl Peters hakuielewa. Inahuzunisha !!!
View attachment 1738890

Kwanza kulikuwa na ulazima gani wa kuandika Kingereza ilhali Rais wetu mtu wa Pwani kabisa?,ona sasa wameanza kutimuana!.
 
Back
Top Bottom