Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20210328-213032.jpg
 
Mti huu una miaka zaidi ya miaka moja.
Mti huo umeishi kwenye mapambano makali ya upepo mkali na vimbunga kwenye eneo la Anum mashariki ya Ghana.
Kwenye eneo hilo lenye mmonyoko, nyumba kadhaa zimeporomoka na kuacha mti huo ukipambania maisha yake.
View attachment 1737050
Ingekuwa huku kwetu Bongo ungekuwa umeshakufa kwa kuchumwa kwa ajili ya kutengenezea madawa
 
Back
Top Bottom