Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,637
Leo kumekuwa na picha amaizing sana toka Chamwino
Sana zinavutia na kuondoa stressLeo kumekuwa na picha amaizing sana toka Chamwino


Ingekuwa huku kwetu Bongo ungekuwa umeshakufa kwa kuchumwa kwa ajili ya kutengenezea madawaMti huu una miaka zaidi ya miaka moja.
Mti huo umeishi kwenye mapambano makali ya upepo mkali na vimbunga kwenye eneo la Anum mashariki ya Ghana.
Kwenye eneo hilo lenye mmonyoko, nyumba kadhaa zimeporomoka na kuacha mti huo ukipambania maisha yake.
View attachment 1737050



