Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Ni wale walioondoka na JPM kwa kukanyagwa uwanjani ama?
Wapumzike salama


Ni wale walioondoka na JPM kwa kukanyagwa uwanjani ama?


Mnaogopa giza.Uoga?
Tunaogopa nyoka, vita, ugomvi au kitu gani, mbona mmekusnya vyote pamoja?






Ila hiki Sio kituko rafiki
Kwenye uwanja wa vituko siyo vibaya tukiomboleza na kupashana habari zinazoendelea DunianiIla hiki Sio kituko rafiki
Ndiyo haoNi wale walioondoka na JPM kwa kukanyagwa uwanjani ama?
Wapumzike salama![]()

Na mfanyakazi wao pia kafa
Aiseee hatarNaaam!
Mungu na Amponye huyu binti. Na baharia aliyesababisha hii "ajali" apigwe mvua 30 au kifungo cha maisha
View attachment 1705975