Enzi za Magufuli huu ni uchocheziNdoto za msemajiView attachment 1732345
Mmmh labda ianguke kwenye uchafu like kinyesi or shii

Hata hivyo aliyasema hayo enzi za MagufuliEnzi za Magufuli huu ni uchochezi
Uoga?
Kuna ile 5 seconds rule. Kitu kikianguka halafu ukakiokota ndani ya sekunde 5 basi ni halali kukila. Ila nyama hata ikae nusu saa siwezi kuitupa. Ni kuipangusa tu halafu inaelekea mdomoni.



Wapumzike kwa amani.