Dogo anataka kupima corona
Tango pori
Nadra sana kukuta pisi kali iko kitivo cha uhandisi. Pisi utazikuta huku BCom, Political Science na Linguistics![]()

Huo ndio mkweli mkuu, pisi kali ni huko biashara na sanaa tu!!Mkono ukisukumwa tu hapo tayari kitu kinazama maana kipo usawa wenyewe kabisawanafunzi wana utani na walimu wao!!
Poa sana mkuu, bila shaka now unaendelea vizuri!Mkono ukisukumwa tu hapo tayari kitu kinazama maana kipo usawa wenyewe kabisa
Vipi kwema lakini mkuu
Vizuri kama ni poa sana mkuu....Poa sana mkuu, bila shaka now unaendelea vizuri!
Pamoja sana mkuuVizuri kama ni poa sana mkuu....
Kwa kweli nipo naendelea vizuri sana
Nimerudi kwenye hali yangu kama zamani
, uendelee kubarikiwa!!Fidodido kalikoroga anaomba yaisheKwa wataalamu wa body language, nini kinaendelea hapa?
View attachment 1696587
Kuna mdada aliniambia vikija Bongo hivi vidude nimshtue anavihitaji maana kachoka kupata UTI kwenye mavyoo ya Kushea ofisini hukoAisee....
View attachment 1696729
Mbona wapo wengi tyuuh uhandisi mmmh.Huo ndio mkweli mkuu, pisi kali ni huko biashara na sanaa tu!!