cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,139
Mapenzi hayana formula.
Mapenzi hayana formula.
Ukikuta pisi kali uhandisi basi inabebwa tuMbona wapo wengi tyuuh uhandisi mmmh.

Uongo huu sasa lol.Ukikuta pisi kali uhandisi basi inabebwa tu![]()
Uongo huu sasa lol.

mi ndio nakwambia sasa, unakuta wanaokaza wachache sana wengine maksi za mezani!!Mmmmmh wala hata siamini.mi ndio nakwambia sasa, unakuta wanaokaza wachache sana wengine maksi za mezani!!
Hayo sio mapenzi Ni ngono, hapo utakuta fundi kucha naye anakula, ex wake wakikutana anakula duhMapenzi hayana formula.

Hayo sio mapenzi Ni ngono, hapo utakuta fundi kucha naye anakula, ex wake wakikutana anakula duh![]()





hatareeeh sanaah lolMilioni 700 nyingi sana, niwekee 100 tu! Nitapiga na selfie pamoja na abiria waliopo!!



vipi kuhusu mpiga picha?
Naombeni mwenye ile picha ya
HER :BABE NIKUKUPEA USIENDE KUTANGAZA
ME: (picha ya jama anafunga kipaza sauti)
![]()