Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Penandezi
2021-01-07_23-14-23-261.jpg
 
Hahaaa na jamaa wanavyopenda kupigisha stories basi mi najibugi tu aiseee balaaa ......enheee ikawaje halafu mkifika tu na stori inaisha anasepa. Sasa kama anataka story tuwe washkaji si apaki bodaboda hapo tukae kimvulini anisimulie mpaka iishe
N ule upepo akikwambia kitu hata hamsikilizani kabisa, unabaki unaitikia tu kwa nguvu ili mfike
 
Dah! Nakumbuka wakati nipo form three miaka flani hivi, mshua kanipa ada nipeleke bank mie nikasepanayo school, ile naingia class madam wa darasa huyo na daftari lake.. " wasiotoa ada mbele" mchizi nikaminya akanza kuita shubiri poli njoo mbele, mgonga like mbele... kumaliza kuita sijui akajichanganya vipi akanipa daftari nipeleke ofisin. Kucheki cheki nakuta waliolipa ada na makorokoro mengine wamepigwa tiki tu! Mchizi na wenge langu bira kutafakari mara mbili nikajiona ninja nikatia tiki kote ninapodaiwa.

Kesho yake ticha akanza kugawa vifaa vya shule kwa waliolipia na mimi nikapewa, moyoni najiongopea nishamaliza mchezo! acha nianze kutumbua ada kwa raha zangu utoto raha sana.. kilichofata bada ya week ya kwanza ndio sitaki hata kukumbuka mshua bandidu sana
 
Dah! Nakumbuka wakati nipo form three miaka flani hivi, mshua kanipa ada nipeleke bank mie nikasepanayo school, ile naingia class madam wa darasa huyo na daftari lake.. " wasiotoa ada mbele" mchizi nikaminya akanza kuita shubiri poli njoo mbele, mgonga like mbele... kumaliza kuita sijui akajichanganya vipi akanipa daftari nipeleke ofisin. Kucheki cheki nakuta waliolipa ada na makorokoro mengine wamepigwa tiki tu! Mchizi na wenge langu bira kutafakari mara mbili nikajiona ninja nikatia tiki kote ninapodaiwa.

Kesho yake ticha akanza kugawa vifaa vya shule kwa waliolipia na mimi nikapewa, moyoni najiongopea nishamaliza mchezo! acha nianze kutumbua ada kwa raha zangu utoto raha sana.. kilichofata bada ya week kaza ndio sitaki hata kukumbuka mshua bandidu sana
 
Dah! Nakumbuka wakati nipo form three miaka flani hivi, mshua kanipa ada nipeleke bank mie nikasepanayo school, ile naingia class madam wa darasa huyo na daftari lake.. " wasiotoa ada mbele" mchizi nikaminya akanza kuita shubiri poli njoo mbele, mgonga like mbele... kumaliza kuita sijui akajichanganya vipi akanipa daftari nipeleke ofisin. Kucheki cheki nakuta waliolipa ada na makorokoro mengine wamepigwa tiki tu! Mchizi na wenge langu bira kutafakari mara mbili nikajiona ninja nikatia tiki kote ninapodaiwa.

Kesho yake ticha akanza kugawa vifaa vya shule kwa waliolipia na mimi nikapewa, moyoni najiongopea nishamaliza mchezo! acha nianze kutumbua ada kwa raha zangu utoto raha sana.. kilichofata bada ya week kaza ndio sitaki hata kukumbuka mshua bandidu sana
Malizia mkuu. Ilikuwaje
 
Dah! Nakumbuka wakati nipo form three miaka flani hivi, mshua kanipa ada nipeleke bank mie nikasepanayo school, ile naingia class madam wa darasa huyo na daftari lake.. " wasiotoa ada mbele" mchizi nikaminya akanza kuita shubiri poli njoo mbele, mgonga like mbele... kumaliza kuita sijui akajichanganya vipi akanipa daftari nipeleke ofisin. Kucheki cheki nakuta waliolipa ada na makorokoro mengine wamepigwa tiki tu! Mchizi na wenge langu bira kutafakari mara mbili nikajiona ninja nikatia tiki kote ninapodaiwa.

Kesho yake ticha akanza kugawa vifaa vya shule kwa waliolipia na mimi nikapewa, moyoni najiongopea nishamaliza mchezo! acha nianze kutumbua ada kwa raha zangu utoto raha sana.. kilichofata bada ya week kaza ndio sitaki hata kukumbuka mshua bandidu sana
 
Back
Top Bottom