bassarere
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 300
- 569
Kwani lakini jamani! Dar dar....Wanaume wa Dar included?
View attachment 1670225
Kwani lakini jamani! Dar dar....Wanaume wa Dar included?
View attachment 1670225
Sasa hapo analia nini? Na huyo anaekula samaki si mdada mwingine tofauti na huyo anaelia?Hahahahaha acha utani we mdada
Analipia alivyokula.......
Au unadhani kakabwa na mwiba wa samaki?
mayday mayday target destroyed I repeat target destroyedTango tango....View attachment 1670029
Unasosomora vya vya watu sisi wanaume tunalia mioyoni kwa gharama zinavyoendaSasa hapo analia nini? Na huyo anaekula samaki si mdada mwingine tofauti na huyo anaelia?



Vibaya hivyo!free lunch utaipata nyumbani kwenu tu!!