Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Follow%20-%20%40be.like.bro.ig%20for%20more...............................................%20(...jpg
 
Dah! Nakumbuka wakati nipo form three miaka flani hivi, mshua kanipa ada nipeleke bank mie nikasepanayo school, ile naingia class madam wa darasa huyo na daftari lake.. " wasiotoa ada mbele" mchizi nikaminya akanza kuita shubiri poli njoo mbele, mgonga like mbele... kumaliza kuita sijui akajichanganya vipi akanipa daftari nipeleke ofisin. Kucheki cheki nakuta waliolipa ada na makorokoro mengine wamepigwa tiki tu! Mchizi na wenge langu bira kutafakari mara mbili nikajiona ninja nikatia tiki kote ninapodaiwa.

Kesho yake ticha akanza kugawa vifaa vya shule kwa waliolipia na mimi nikapewa, moyoni najiongopea nishamaliza mchezo! acha nianze kutumbua ada kwa raha zangu utoto raha sana.. kilichofata bada ya week kaza ndio sitaki hata kukumbuka mshua bandidu sana
Naona umejirekebisha leo mgonga like,
Hongera
 
Back
Top Bottom