Raphael focus
JF-Expert Member
- Nov 4, 2018
- 782
- 4,621
.
dah! Nakumbuka niliwahi kupiga show na demu nikatumia mafuta ya Mwamposa


sidhani kama umenifikia kwa kucheka mkuu



Connection please!!!!!
Huendi mbingunidah! Nakumbuka niliwahi kupiga show na demu nikatumia mafuta ya Mwamposa
![]()
Hapana,ila imenikumbusha kabila fulani na wao ni kama wasambaa tu.![]()
Kwani nawe ni msambaa Dada



Kabira gani hilo ?Hapana,ila imenikumbusha kabila fulani na wao ni kama wasambaa tu.![]()


ukisoma hio meme na ukapita Karikaoo aiseeeWale wanaochomekea mbele wanaonekana safi, mkanda nje, hata kama shati limechanika mgongoni, ila analificha kwa kuvaa na koti?Hapana,ila imenikumbusha kabila fulani na wao ni kama wasambaa tu.![]()















Utakuwa mrangi wewe nimekukumbukaHapana,ila imenikumbusha kabila fulani na wao ni kama wasambaa tu.![]()
Waluguru nao noma
nilikuwa nacheka lakini ghafla nimehuzunika aiseee hiii picha imenihuzunisha sana ngoja nilog out kidogoMama hawezi kuwaacha wanae wateseke au wabaki na njaa, km wanaume tunavyosepa kuwahudumia watoto
hutu mama kakamatwa kwenye shamba la migomba akivunja ndizi na kuwapa wanawe wale kutoka ktk mkunguu aliouiba /kuuangusha katika mgomba
hapo km ni mwenye shamba utafanyajeView attachment 1657208