Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

I%20can't%20be%20the%20only%20who%20finds%20this%20relatable%20_disappointed_%20(%201275%20X%2...jpg
 
Mama hawezi kuwaacha wanae wateseke au wabaki na njaa, km wanaume tunavyosepa kuwahudumia watoto
hutu mama kakamatwa kwenye shamba la migomba akivunja ndizi na kuwapa wanawe wale kutoka ktk mkunguu aliouiba /kuuangusha katika mgomba
hapo km ni mwenye shamba utafanyaje
MAMA AKITAFUTA CHAKULA SHAMBA LA WATU.jpg
 
Mama hawezi kuwaacha wanae wateseke au wabaki na njaa, km wanaume tunavyosepa kuwahudumia watoto
hutu mama kakamatwa kwenye shamba la migomba akivunja ndizi na kuwapa wanawe wale kutoka ktk mkunguu aliouiba /kuuangusha katika mgomba
hapo km ni mwenye shamba utafanyajeView attachment 1657208
Kama ni mimi namuachia huru namuongezea na mikungu mingine na kama nina hela kiasi pia nampatia. Kwa maana anachokifanya hapo sio kwa ajili yake bali ni kwa ajili ya watoto. "Mama haui mwana"
 
Mama hawezi kuwaacha wanae wateseke au wabaki na njaa, km wanaume tunavyosepa kuwahudumia watoto
hutu mama kakamatwa kwenye shamba la migomba akivunja ndizi na kuwapa wanawe wale kutoka ktk mkunguu aliouiba /kuuangusha katika mgomba
hapo km ni mwenye shamba utafanyajeView attachment 1657208

The end doesn’t justify the means.
 
Mama hawezi kuwaacha wanae wateseke au wabaki na njaa, km wanaume tunavyosepa kuwahudumia watoto
hutu mama kakamatwa kwenye shamba la migomba akivunja ndizi na kuwapa wanawe wale kutoka ktk mkunguu aliouiba /kuuangusha katika mgomba
hapo km ni mwenye shamba utafanyajeView attachment 1657208
Nifanye nini sasa kaka, nitamuongezea kadri nilivyojaaliwa, nikiwa nina hela ya mkaa na mafuta ya kupikia nitampa, ikiwa nina pesa ya nyama, nitampa akasherehekee na wanawe, nikiwa na uwezo wa kumpa ajira nitampa ajira kabisa
 
Back
Top Bottom