Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,752
- 21,974
View attachment 1657143
Chief konge mbona uko spidi sana! Vipi unataka kumpindua Mgonga Like nini?
Maana huyu mwamba mkwepu jr humuwezi hata siku moja!!
![]()


Mr Mgonga Like Naona amekuja kufanya malipizi 














Kama ni mimi namuachia huru namuongezea na mikungu mingine na kama nina hela kiasi pia nampatia. Kwa maana anachokifanya hapo sio kwa ajili yake bali ni kwa ajili ya watoto. "Mama haui mwana"Mama hawezi kuwaacha wanae wateseke au wabaki na njaa, km wanaume tunavyosepa kuwahudumia watoto
hutu mama kakamatwa kwenye shamba la migomba akivunja ndizi na kuwapa wanawe wale kutoka ktk mkunguu aliouiba /kuuangusha katika mgomba
hapo km ni mwenye shamba utafanyajeView attachment 1657208
Mama hawezi kuwaacha wanae wateseke au wabaki na njaa, km wanaume tunavyosepa kuwahudumia watoto
hutu mama kakamatwa kwenye shamba la migomba akivunja ndizi na kuwapa wanawe wale kutoka ktk mkunguu aliouiba /kuuangusha katika mgomba
hapo km ni mwenye shamba utafanyajeView attachment 1657208





Mama hawezi kuwaacha wanae wateseke au wabaki na njaa, km wanaume tunavyosepa kuwahudumia watoto
hutu mama kakamatwa kwenye shamba la migomba akivunja ndizi na kuwapa wanawe wale kutoka ktk mkunguu aliouiba /kuuangusha katika mgomba
hapo km ni mwenye shamba utafanyajeView attachment 1657208


duhHahahahahahahaha
Nifanye nini sasa kaka, nitamuongezea kadri nilivyojaaliwa, nikiwa nina hela ya mkaa na mafuta ya kupikia nitampa, ikiwa nina pesa ya nyama, nitampa akasherehekee na wanawe, nikiwa na uwezo wa kumpa ajira nitampa ajira kabisaMama hawezi kuwaacha wanae wateseke au wabaki na njaa, km wanaume tunavyosepa kuwahudumia watoto
hutu mama kakamatwa kwenye shamba la migomba akivunja ndizi na kuwapa wanawe wale kutoka ktk mkunguu aliouiba /kuuangusha katika mgomba
hapo km ni mwenye shamba utafanyajeView attachment 1657208
ninyi mnawazalisha tu matunzo na chakula hamuwapi na kesho yao haijulikaniThe end doesn’t justify the means.


