Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20241130_221818.jpg


Bado vipimo vya DNA vinaonesha ni bila bila, You Know 😂​
 
Weeeeh, niliifanya hii miaka hiyooo nikiwa bado kigori, yaani nilikuwa napewa hela nairudisha au nachukua elfu 1 namrudishia elf 9. Nikaachwa kisa nadharau pesa zake, nadharau hawezi kunitunza, sithamini anavyojitoa kwake.....

Ngachokaa!!! na nikalefti ndoto za kuolewa mazimaaa 😏😏.
Ulikosea.
Tunaposema usipende sana pesa ni kujiepusha na mizinga isiyo ya lazima.
Utakuta mwanamke ana vyanzo vyake vya pesa lakini kwa mizinga hakamatiki.
Lakini kama umepewa pokea
 
Watoto 14 wa shule ya msingi IZINGA iliyoko Nkasi kusini ambao wazazi wao ni WANACHAMA wa CHADEMA wamefukuzwa shule na
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo ndg REGIUS KAWIMBE kwa kosa la wazazi wao kuiunga mkono CHADEMA katika UCHAGUZI wa VIJIJI na VITONGOJI.
#WaziriMkenda .
20241205_152557.jpg
 
Back
Top Bottom