Mangi Muitori
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 653
- 422
Mpanda Mtaa wa Simba
Mpanda Mtaa wa Simba
Ulikosea.Weeeeh, niliifanya hii miaka hiyooo nikiwa bado kigori, yaani nilikuwa napewa hela nairudisha au nachukua elfu 1 namrudishia elf 9. Nikaachwa kisa nadharau pesa zake, nadharau hawezi kunitunza, sithamini anavyojitoa kwake.....
Ngachokaa!!! na nikalefti ndoto za kuolewa mazimaaa 😏😏.
Nahitaji kama hii Kalaga Baho Nongwa fanya maarifa ya kuipata.
Ndio maana mie sitaki kuwa na watoto maana mie mwenye akili sina hizo homework nitamsaidiaje mtoto
Na uzuri ukimrudisha mke wa mtu kwa mumewe baada ya kumdinya huwezi kupata tabu yoyote ile