Ukirudi nyumbani umechoka "ulikuwa kwa wanawake zako"
Poleni sanaUkirudi nyumbani umechoka "ulikuwa kwa wanawake zako"
Wanaume tunaishi kwa mateso sana..
Chalamila ana mikwara mbuziJamaa ana mikwara
Kwenye ufukwe wa ziwa Tanganyika nimeona makazi kadhaa ya watu yamezamishwa.Hata Ziwa Victoria aisee. Kuna watu walinunua viwanja vya bei mbaya karibu kabisa na ziwa wakashusha mahekalu ya kueleweka mweh! Sasa hivi mahekalu yamo majini wameshayakimbia. Yaani ni total loss. Nilikuta kuna Mkanada fulani yeye kajenga juu ya paa lake huko juu anakwenda na kutoka kwa speed boat.
Ajabu sana! Ukiwauliza wazee wanasema eti ziwa linapumua. Na mwaka huu hali ndiyo imezidi kuwa mbaya. Sijui ndiyo mabadiliko ya tabia nchi ama nini sielewi aisee....
Mateso mpaka kifo🤣🤣😇😇😇🎶Wanaume tumeumbwa matesoooo matesoooo kuhangaikaaa 🎵
TUnaanza kuteseka toka utotoni hadi uzeeni, aisee..
![]()
Apo umenikamata vizuri mimi nyimbo ninayoijui ni merimela tu
Z anto binti kiziwi location njia ya panda ya magomeni Kagera
Ndio nyimbo gani hiyoApo umenikamata vizuri mimi nyimbo ninayoijui ni merimela tu
Tuliambiwa wamefariki watu 35 pekee, kumbe kuna wengine wameuwawa kimya kimya🙄🙄
Ndio