Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kigoma kuna changamoto.

Ziwa Tanganyika linafuata makazi ya watu kwa kasi
Hata Ziwa Victoria aisee. Kuna watu walinunua viwanja vya bei mbaya karibu kabisa na ziwa wakashusha mahekalu ya kueleweka mweh! Sasa hivi mahekalu yamo majini wameshayakimbia. Yaani ni total loss. Nilikuta kuna Mkanada fulani yeye kajenga juu ya paa lake huko juu anakwenda na kutoka kwa speed boat.

Ajabu sana! Ukiwauliza wazee wanasema eti ziwa linapumua. Na mwaka huu hali ndiyo imezidi kuwa mbaya. Sijui ndiyo mabadiliko ya tabia nchi ama nini sielewi aisee....
 
Wewe unaweza kuchomoka na mtego kama huo ati kisa una mke na watoto nyumbani?
Mateso yanatutesa bro
Bila kupepesa macho hapo nachomoka aisee! 💪💪💪

Screenshot_20210621-083156_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom