moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,212
Huyu Muha naye tumeshamchoka, maneno kama muimba taarabu😏😏😏
Huyu Muha naye tumeshamchoka, maneno kama muimba taarabu😏😏😏
Ndoto za wavulana wa kumilikiwa na limama kama hilo😂
Tapeli kwenye ubora wake🤣🤣
Kuna kichwa kipo kwenye uzi huu nakionea huruma, kimeondokewa na mtu anaitwa Guede kinaweweseka hicho🤣🤣🤣🤣🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Usinikumbushe ujinga wa YangaKuna kichwa kipo kwenye uzi huu nakionea huruma, kimeondokewa na mtu anaitwa Guede kinaweweseka hicho🤣🤣🤣🤣🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika,View attachment 3043251
Mateso hayaepukiki🤣🤣
Mkuu kumbe una msambwanda namna hii..
Ndio nini unatufundisha
Msambwanda wa mwenyeweMkuu kumbe una msambwanda namna hii..


Vituko mitandaoniNdio nini unatufundisha
Ouky Fine👍👍👍Vituko mitandaoni