Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,190
- 4,263
Ripot ya CAG ni kama kumpigia mbuzi gitaaKuna harufu ya uhalifu hapo.
Tusubiri ripoti ya Kicheere
Ripot ya CAG ni kama kumpigia mbuzi gitaaKuna harufu ya uhalifu hapo.
Tusubiri ripoti ya Kicheere
Naam huyu ni mimi
Huwa hatuchelewi kutoa ahadi zisizotekelezeka, mi sa hivi nadaiwa Range Rover 3 na nyumba..
.. Sijui wenzangu huko
Utamu kunoga😀Huwa hatuchelewi kutoa ahadi zisizotekelezeka, mi sa hivi nadaiwa Range Rover 3 na nyumba.... Sijui wenzangu huko
Hiko kipindi kichwa cha chini ndio kinatoa maamuzi..😂Utamu kunoga😀
Hajazoea nini ati?Hakajazoea 🙈🙈🙈🙈
View attachment 3037433